Kurugenzi ya Elimu kwa Umma inatekeleza majukumu yake kupitia njia zifuatazo semina, mijadala ya wazi, midahalo, vipindi vya Redio na Runinga, matamasha na Kongamano, mikutano ya hadhara, maonesho, machapisho na kufungua klabu shuleni na vyuoni.

Kurugenzi ya Elimu kwa Umma inatekeleza majukumu yake kupitia njia zifuatazo semina, mijadala ya wazi, midahalo, vipindi vya Redio na Runinga, matamasha na Kongamano, mikutano ya hadhara, maonesho, machapisho na kufungua klabu shuleni na vyuoni.
TAKUKURU imekuwa ikiwatumia wadau mbali mbali katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuwa mapambano yanategemea juhudi za wadau mbali mbali....
Mapambano dhidi ya rushwa ni jukumu letu sote. Hivyo kila mmoja wetu ashiriki kwa kulonga nasi “TAKUKURU” kwa kuwa tumepewa...
TAKUKURU mwaka 2019 ilisaini makubaliano na Shirika lisilo la kiserikali la Women Fund Tanzania – Trust (WFT-Trust) kushirikiana kuelimisha jamii...