TAKUKURU YASHIRIKI MKUTANO WA MAJAJI MWANZA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Mhimili wa Mahakama kushiriki...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Mhimili wa Mahakama kushiriki...
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, CP. Salum R. Hamduni akiwasilisha kwa Mheshimiwa Rais, Dr. Samia Suluhu Hassan TAARIFA YA UTENDAJI KAZI...
Machi 24, 2023, Mhand. Joseph Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma TAKUKURU (aliyeketi kiti cha mbele), kwa niaba ya Mkurugenzi...
Mafunzo ya Mapambano Dhidi ya Rushwa yamefanyika Cairo - Misri kuanzia Machi 13 hadi 15, 2023 ambapo nchi za Zambia,...
Kikao kati ya watumishi wa TAKUKURU Dodoma na timu ya Mheshimiwa Rais ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai, kimefanyika jijini...
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. SALUM RASHID HAMDUNI ametembelea ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Manyara . Kulia kwake ni Mkurugenzi...
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP Salum Rashid Hamduni (wa kwanza kulia), na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na...
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye amewaongoza wanawake wa TAKUKURU Makao Makuu na Mkoa wa Dodoma kutembelea Kituo...
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye, amewaongoza wanawake wa TAKUKURU MakaoMakuu na wale wa Ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, kutembelea wahitaji (watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yatima pamoja na wazee),ambao wanalelewa katika Kituo cha Mtakatifu Theresa - Shirika la Upendo kilichopo Hombolo jijini Dodoma, Machi 8, 2023.
Wajumbe wa Tume iliyoundwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kupokea maoni ya kuboresha utendaji wa Taasisi za Haki Jinai nchini imefika na kuzungumza na Wakuu wa TAASISI za HakiJinai Wilayani Arumeru, Maaskari na Wananchi wa Kijiji cha Ngarasero, USA RIVER. Mwenyekiti wa Tume, JAJI Mstaafu Othman Chande (wa tatukutoka kushoto) aliwataka wananchi na Viongozi wa Taasisi za Haki Jinai, kuelezea kwa uhuru na bila kificho, CHANGAMOTO zozote wanazoziona wakatiwa kutoa au kupata haki kwenye vyombo vya dola. Akifafanua, maana ya HAKI JINAI, alieleza ya kwamba, "Mnyororo wa haki huanzia wakati uhalifuunafanyika, ukamataji, upelelezi, kufikishwa mahakamani, kutolewa kwa hukumu, kufungwa gerezeni na kutoka gerezani hadi muda wa kurejea kwenyejamii" Mkuu wa TAKUKURU (W) Arumeru Bw Deogratius Mtui ni miingoni mwa waliotoa maoni Yao. TAKUKURU ARUMERU Machi 3, 2023.
© 2022 TAKUKURU