MAFUNZO YA WELEDI – MISRI

MAFUNZO YA WELEDI – MISRI

Mafunzo ya Mapambano Dhidi ya Rushwa yamefanyika Cairo - Misri kuanzia Machi 13 hadi 15, 2023 ambapo nchi za Zambia,...

KIKAO KAZI – DODOMA

KIKAO KAZI – DODOMA

Kikao kati ya watumishi wa TAKUKURU Dodoma na timu ya Mheshimiwa Rais ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai, kimefanyika jijini...

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2023 – DODOMA

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2023 – DODOMA

 Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye, amewaongoza wanawake wa TAKUKURU MakaoMakuu na wale wa Ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, kutembelea wahitaji (watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yatima pamoja na wazee),ambao wanalelewa katika Kituo cha Mtakatifu Theresa - Shirika la Upendo kilichopo Hombolo jijini Dodoma, Machi 8, 2023.

TUME YA HAKI JINAI, YAFIKA WILAYANI ARUMERU

TUME YA HAKI JINAI, YAFIKA WILAYANI ARUMERU

 Wajumbe wa Tume iliyoundwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kupokea maoni ya kuboresha utendaji wa Taasisi za Haki Jinai nchini imefika na kuzungumza na Wakuu wa TAASISI za HakiJinai Wilayani Arumeru, Maaskari na Wananchi wa Kijiji cha Ngarasero, USA RIVER. Mwenyekiti wa Tume, JAJI Mstaafu Othman Chande (wa tatukutoka kushoto) aliwataka wananchi na Viongozi wa Taasisi za Haki Jinai, kuelezea kwa uhuru na bila kificho, CHANGAMOTO zozote wanazoziona wakatiwa kutoa au kupata haki kwenye vyombo vya dola. Akifafanua, maana ya HAKI JINAI, alieleza ya kwamba, "Mnyororo wa haki huanzia wakati uhalifuunafanyika, ukamataji, upelelezi, kufikishwa mahakamani,  kutolewa kwa hukumu, kufungwa gerezeni na kutoka gerezani hadi muda wa kurejea kwenyejamii"  Mkuu wa TAKUKURU (W) Arumeru Bw Deogratius Mtui ni miingoni mwa waliotoa maoni Yao. TAKUKURU ARUMERU Machi 3, 2023.

Page 5 of 12 1 4 5 6 12

Taarifa kwa Umma