TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

MKUTANO WA MAMLAKA ZA KUPAMBANA NA RUSHWA – JUMUIYA YA MADOLA –  CAPE TOWN:

MKUTANO WA MAMLAKA ZA KUPAMBANA NA RUSHWA – JUMUIYA YA MADOLA –  CAPE TOWN:

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bw. Crispin Francis Chalamila, anashiriki Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Wakuu wa Mamlaka za Kupambana na Rushwa kwa Nchi za Jumuiya ya Madola – Kanda ya Afrika (15th Commonwealth Regional Conference of Heads of Anti-Corruption Agencies in Africa), unaofanyika Cape Town – Afrika Kusini kuanzia Mei 5 – 9, 2025.

Mkutano huu una lengo la kuimarisha ushiriki wa wadau (Taasisi za Serikali na Zisizo za Serikali), katika kuzuia na kupambana na rushwa Barani Afrika.

Kupitia mkutano huu Mkurugenzi Mkuu ametoa wasilisho kuhusu ‘INTERGRATING ANTI – CORRUPTION CONTENT INTO THE EDUCATION CURRICULUM IN TANZANIA’ , lililoangazia mafanikio ya Tanzania katika jitihada za kuzuia na kupambana na Rushwa.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI  – (AAACA) 2022.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI – (AAACA) 2022.

KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO UWE WAJIBU WA KILA MKAZI WA DODOMA

KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO UWE WAJIBU WA KILA MKAZI WA DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI IRAMBA SINGIDA

KUTOKA MAHAKAMANI IRAMBA SINGIDA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MOSHI, KILIMANJARO.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MOSHI, KILIMANJARO.

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332