Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila amekabidhi dawa na vifaa tiba, kwa ajili ya watoto njiti, vyenye thamani ya zaidi ya Sh. 15,000,000.
Chalamila ametoa wito kwa Watanzania kushiriki katika kuchangia katika sekta ya afya, haswa amehimiza umuhimu wa kuchangia damu hospitalini.