TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

AAACA EXCOM – 2024

AAACA EXCOM – 2024

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, anahudhuria Mkutano wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa barani Afrika, unaofanyika Algiers – Algeria, Machi 5 – 6, 2024.

Tanzania ni moja kati ya nchi zilizoridhia na kusaini Mkataba wa Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa (African Union Convention on Preventing and Combating Corruption – AUCPCC) uliosainiwa Julai 11, 2003 jijini Maputo, Msumbiji.

Kupitia Mkataba huu, Mwaka 2011 lilianzishwa Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Afrika (Association of Anti – Corruption Authorities in Africa – AAACA), likiwa na lengo la kuhimiza nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kusaini na kuridhia utekelezaji wa AUCPCC.

Tanzania (TAKUKURU), ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya AAACA inayowakilisha Mamlaka za Kupambana na Rushwa ukanda wa Afrika Mashariki katika kamati hiyo.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

VIGOGO WAWILI TALGWU NA DEREVA WASHTAKIWA KWA RUSHWA – ILALA

VIGOGO WAWILI TALGWU NA DEREVA WASHTAKIWA KWA RUSHWA – ILALA

MKUSANYA MAPATO KWA NJIA YA POS HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA HATIANI KWA KUJIPATIA MANUFAA KWA FEDHA ZA SERIKALI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332