TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI – ITILIMA SIMIYU

Afisa Mtendaji wa Kata ya Sagata kizimbani kwa ubadhirifu wa kiasi cha Sh. 1,628,000/=

Afisa Mtendaji wa Kata ya Sagata katika Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bw. SOLOMON DUNGA MBISE, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu kwa mashtaka manne;

  1. Ubadhirifu na ufujaji
  2. Matumizi mabaya ya madaraka
  3. Kusababishia hasara Mamlaka
  4. Wizi kwa Mtumishi wa Umma wa kiasi cha Shilingi 1,628,000/= fedha za mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Itilima alizokusanya kwa kutumia mashine za POS.

Akisoma mashtaka hayo katika kesi na. ECO 06/2023 mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Mhe. Robart Kaanwa, Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Bw. Bahati Kulwa akisaidiana na Bw. Edgar Mkumbo na Wisley Ngwembe, alisema makosa hayo ni kinyume na Kifungu cha 28(1) cha PCCA, kifungu cha 31 cha PCCA kikisomwa pamoja na kifungu cha 57(1) na 60(2) cha EOCCA, Kifungu cha 265 na 270 cha Penal Code.

Baada ya kusomewa makosa hayo, mshtakiwa alikana makosa yote. Pia mshtakiwa aliijulisha mahakama kuwa ana nia ya kufanya mazungumzo ya Plea Bargaining na ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Simiyu.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 19, 2024 ili mshtakiwa aweze kukamilisha hatua za Plea Bargaining na ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Simiyu.

Mshtakiwa alifanikiwa kutimiza masharti ya dhamana hivyo yupo nje kwa dhamana.

TAKUKURU Simiyu. Disemba 20, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

ONYO KWA MATAPELI KUHUSU AJIRA TAKUKURU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA KINONDONI

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

0
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU