TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

MPIMA ARDHI MSAIDIZI NA WENZAKE MBARONI KWA KUISABABISHIA SERIKALI HASARA YA sh. 84,000,000/=

MTWARA, JUL – SEP 2023


Novemba 7, 2023 Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Manyara imemfikisha Mahakamani Bw. IDDI ISSA RULAMYE – Mpima Ardhi Msaidizi aliyekuwa Halmashauri ya Mji Babati na Wenzake Wawili.

Washtakiwa hao wamefikishwa mbele ya Mh. MARTINE MASAO Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Manyara kwa makosa ya kutumia madaraka vibaya na kumilikisha ardhi kwa wananchi pasipo kuhusisha Kamati ya Umilikishaji Ardhi; Kughushi; Kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu; Utakatishaji fedha pamoja na Kuisababishia Mamlaka husika hasara ya sh. 84,000,000/=.

Kesi hiyo ya Uhujumu Uchumi imefunguliwa na kusajiliwa kama ECC.No.09/2023 na kusomwa na Wakili wa Jamhuri Bi. EVELINE ONDITI (TAKUKURU) ambapo ameeleza kuwa washtakiwa walikiuka Kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 marejeo ya Mwaka 2019 kikisomwa pamoja na Aya ya 21 Jedwali la Kwanza ya Kif. 57(1) na 60 (2) vya Sheria ya Uhujumu Uchumi Sura ya 200 marejeo ya 2019.

Washtakiwa Wengine ni ; JULIAN ANSBERT RUBUKA – Afisa Ardhi na JOSEPH JOHN SELUKELE – Afisa Ardhi Msaidizi.

Mshtakiwa wa kwanza amekosa dhamana kwa vile anashtakiwa kwa kosa la utakatishaji fedha kinyume na kifungu cha 12(a) & 13(1)(a) ya utakatishaji fedha Sura ya 423 Marejeo ya 2019 kikisomwa pamoja na Aya ya 21 Jedwali la Kwanza ya Kifungu cha 57(1) na 60 (2) vya Sheria ya Uhujumu Uchumi Sura ya 200 marejeo ya 2019.

Aidha mshtakiwa wa pili na wa tatu wamepata dhamana baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imepangwa kwa usikilizwaji wa awali Novemba 23, 2023 baada ya wakili EVELINE ONDITI kuieleza Mahakama kuwa uchunguzi wa shauri hili umekamilika.

TAKUKURU, Babati – Manyara. Novemba 8, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KIKAO KAZI – DODOMA

KIKAO KAZI – DODOMA

TAKUKURU SONGWE YAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO 13 YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 4.8

TAKUKURU SONGWE YAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO 13 YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 4.8

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

120
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU