TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

AFISA MIONZI HOSPITALI YA RUFAA MBEYA ATIWA HATIANI

MHASIBU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI MBARONI KWA UBADHIRIFU

Novemba 3, 2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya mbele ya Mhe Mtengeti Sangiwa, imeamuliwa Kesi ya Jinai na 215/2022, Jamuhuri dhidi ya
Lambert Haule ambaye ni Afisa Mionzi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya.

Mshitakiwa huyo ameshtakiwa kwa kosa la kujipatia fedha kiasi cha sh. 1,000,000 /= kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Bi. Paulina Mbezi akidai kuwa atamsaidia kuongea na Maafisa wa TAKUKURU (M) Mbeya wasiendelee na uchunguzi wa makosa ya Rushwa unaoendelea dhidi yake.

Jambo hili lilikuwa ni la udanganyifu kwani Bi. Paulina Mbezi hakuwa na tuhuma za rushwa zilizokuwa zinachunguzwa na TAKUKURU (M) Mbeya.

Kosa hili ni kinyume na vifungu vya 301 na 302 vya Kanuni ya Adhabu [CAP 16 R.E 2022] pamoja na kifungu cha 28 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11/2007.

Mashtakiwa ametiwa hatiani kwa kosa hili na amehukumiwa kulipa faini ya sh 500,000/= au kwenda jela miaka 3.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

18
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU