TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

UFUNGUZI WA MAFUNZO

UFUNGUZI WA MAFUNZO

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni amefungua Mafunzo ya Kati ya Uchunguzi kwa Maafisa Waandamizi wa TAKUKURU na kuwataka kuwa chachu ya mabadiliko ndani ya Taasisi. Akizungumza katika hotuba yake amesema mafunzo yanayotolewa yanalenga kuwaandaa kuwa viongozi hivyo anatarajia kuona mabadiliko katika utendaji kazi. “Baada ya mafunzo haya tunatarajia kuona ni kwa namna gani mtatusaidia kuifikia Dira ya TAKUKURU ya kuwa na TANZANIA ISIYO NA RUSHWA”. Mafunzo haya yanafanyika kwa muda wa wiki 8 katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere – Kibaha na yanajumuisha Maafisa Waandamizi 100 kutoka Makao Makuu, ofisini za mikoa na wilaya . Oktoba 17, 2023.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

EID AL – FITR

EID AL – FITR

MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA

MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA

MKUTANO MKUU WA 13 WA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA JUMUIYA YA MADOLA – SEYCHELLES 2023

MKUTANO MKUU WA 13 WA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA JUMUIYA YA MADOLA – SEYCHELLES 2023

TAKUKURU NA TET YASAINI MOU

TAKUKURU NA TET YASAINI MOU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

5507
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU