TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

MAAFISA UGAVI NA MFANYABIASHARA MBARONI KWA RUSHWA

SITA WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA – DODOMA

Shauri la Uhujumu Uchumi Na. 22/2023-Jamhuri dhidi ya 1.YAHYA AMOUR OMAR, 2. AUDIFASY ANGELUS MYONGA ambao ni Maafisa Ugavi katika Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na 3. SHANA WILLIAM MUNISI -Mfanyabiashara na Mmiliki wa Kampuni ya S. Scientific Centre Limited, limefunguliwa leo tarehe 18/10/2023 mbele ya Mhe. ANNETH NYENYEMA (RM) katika Mahakama ya Wilaya Ilala.

Washtakiwa wameshtakiwa kwa makosa matano yakiwemo; Ubadhirifu na Ufujaji, Matumizi mabaya ya Mamlaka, Kughushi nyaraka, Kuwasilisha nyaraka za uongo na Kuisababishia Serikali hasara kiasi cha sh.40,362,250/=

Washtakiwa wote wamekana makosa ambapo mshtakiwa Yahya Amour na Audifasy Myonga wamepelekwa mahabusu baada ya kushindwa kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi tarehe 1/11/2023 kwa ajili ya kusoma Hoja za Awali.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MWALIMU AHUKUMIWA KWA KUGHUSHI DAR

MWALIMU AHUKUMIWA KWA KUGHUSHI DAR

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MOSHI, KILIMANJARO.

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI, TANGA.

KUTOKA MAHAKAMANI HAI – KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMANI HAI – KILIMANJARO

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

116
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU