TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

MWENYEKITI AHUKUMIWA KIFUNGO KWA KUTUMIA MILIONI 60 ZA KIKUNDI – MULEBA KAGERA

MWANASHERIA WA HALMASHAURI YA WILAYA MAKETE MBARONI KWA TUHUMA YA RUSHWA

Oktoba 3, 2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mhe Lilian Mwambeleko, imeamuliwa kesi ya Jinai na. 91/2023, Jamhuri dhidi ya Adilelius Vedasto Apolinary.

Adilelius ambaye ni Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiriamali cha ‘Umoja wa Vijana Youth Fund’ kilochopo Muleba, alishtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uwongo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu matumizi ya sh. Milioni 60 ambazo zilitolewa na Halmashauri ya Muleba Mwaka 2022 kwa ajili ya uwezeshaji wa vijana.

Kosa hili ni kinyume na kif cha 122 cha Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Marejeo ya 2022.

Kesi hii iliongozwa na Wakili Kelvin Murusuri kutoka TAKUKURU na mshtakiwa ameamriwa alipe faini ya sh. Laki tano 500,000/- au kutumikia kifungo cha miezi sita jela. Pia kufuatia maombi ya Wakili Murusuri mshtakiwa huyo ameamriwa arejeshe fedha zote sh. Milioni Sitini ndani ya miezi mitatu na tayari amelipa sh. Milioni Tisa katika akaunti ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Muleba.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI – KAGERA

KUTOKA MAHAKAMANI – KAGERA

WAJUMBE WA KAMATI YA URASIMISHAJI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UBADHIRIFU

WAWILI MBARONI KWA MAKOSA 16 YAKIWEMO UDANGANYIFU NA KUGHUSHI

PCCB AGM 2024: SHUGHULI YA KIJAMII

PCCB AGM 2024: SHUGHULI YA KIJAMII

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

AFISA ARDHI HATIANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA – MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI