TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

WATATU WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA

SITA WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA – DODOMA

Septemba 29, 2023 Mahakama ya Wilaya Kondoa mkoani Dodoma, imetoa hukumu katika Kesi ya Uhujumu Uchumi Na. 8/2022, iliyokuwa ikiwakabili washtakiwa watatu wafuatao:-

  1. ALLY HUSSEIN MRUMA – aliyekuwa Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya Kondoa;
  2. IBRAHIM PETER LUENA – Meneja wa Kampuni ya ENGINEERING Plus (T) LTD pamoja na
  3. CHARLES MAKOBA – ambaye ni Site supervisor.

Washtakiwa wote walishtakiwa kwa makosa manne yakiwemo makosa matatu ya kutumia nyaraka zenye maelezo ya uongo kinyume na k/f cha 22 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329, Marejeo ya Mwaka 2022 na kosa la nne lilikuwa ni kuisababishia Serikali hasara.

Washtakiwa walijenga Mradi wa Maji wa Kijiji cha Goima Kondoa chini ya kiwango, kitendo kilichosababisha mabomba kupasuka na wananchi kukosa huduma ya maji.

Washtakiwa wote wamekutwa na hatia na wamehukumiwa kulipa faini ya sh. Milioni 5 kwa mshtakiwa wa kwanza, sh. milioni 3 kwa mshtakiwa wa pili na sh. Milioni 2 kwa mshtakiwa wa tatu.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MKUU WA MKOA LINDI APONGEZA UJENZI WA JENGO LA TAKUKURU LIWALE

MKUU WA MKOA LINDI APONGEZA UJENZI WA JENGO LA TAKUKURU LIWALE

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA – KAGERA .

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI TANGA.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

105
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU