TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

WATUMISHI TFS HATIANI KWA HONGO, WALIPA FAINI

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewahukumu watumishi wawili wa Wakala wa
Misitu Tanzania (TFS), kulipa faini ya Shilingi 200,000 au kwenda jela
miaka mitatu kila mmoja kwa kosa la kupokea hongo ya Shilingi 150,000.

Hukumu hiyo dhidi ya Bw. Damson Keya Mwansanga na Bw. Yasin Shaban Yasin
katika shauri la jinai Na. 224/2022, imetolewa leo Septemba 4, 2023.

Washtakiwa hao walifikishwa kizimbani kwa shtaka la kupokea hongo ya Shilingi 150,000 kutoka kwa mwananchi mmoja ili wasimchukulie hatua za kisheria baada ya kumkamata kwa kosa la kukata na kutumia miti ya msitu wa Hifadhi ya Loleza ya jijini Mbeya.

Washtakiwa wamelipa faini na kuachiwa huru.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA – KAGERA .

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KIKAO KAZI NA WADAU

KIKAO KAZI NA WADAU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

776
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU