TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI ARUSHA

KUTOKA MAHAKAMANI ARUSHA

Agosti 31, 2023, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imesomwa hukumu ya Shauri la Uhujumu Uchumi ECC. 05/2022 lililowahusu Washtakiwa watatu ambao ni Dkt. John Marco Pima,

  • Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,
    Bi Mariam Shabani Mshana – Aliyekuwa Mweka Hazina wa Jiji la Arusha na
    Bw. Innocent Gitubabu Maduhu – Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Uchumi na Mipango wa Jiji la Arusha.

Washtakiwa walikuwa wanakabiliwa na makosa matatu chini ya Vifungu vya 22, 28(i), na 31 vya PCCA No. 11/2007, makosa mawili chini ya vifungu vya 12 na 13 vya Sheria ya Utakatishaji, kosa la kughushi nyaraka chini ya vifungu vya 333,335 na 337 vya Kanuni ya Adhabu, na Kosa la kuisababishia Mamlaka Hasara chini ya aya 10, jedwali la kwanza vifungu vya 57 na 60 cha Sheria ya Uhujumu Uchumi.

Washtakiwa wote watatu walifikishwa Mahakamani kujibu Makosa waliyotenda baada ya kushirikiana kuandaa nyaraka zilizopelekea hasara kwa Halmashauri ya Jiji la Arusha kiasi cha Shilingi Milioni Mia Moja na Tatu (Tshs. 103,000,000/=) ambapo fedha tajwa walizitumia kwa manufaa yao binafsi.

MAHAKAMA iliwapata washtakiwa wote watatu na hatia na kuwahukumu kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa kila kosa kwa makosa yote.

Sambamba na adhabu hiyo, hukumu hii iliyotolewa na Mh. Sarafina Nsana, Mahakama pia imeamuru kufilisiwa kwa mali ambayo ilithibitika kupatikana kama zao la rushwa.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

USHIRIKIANO NA WADAU

USHIRIKIANO NA WADAU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

ARINEA

ARINEA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

581
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU