TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema Afrika si kichaka cha Walarushwa.

“Walarushwa wafahamu kwamba nchi za Afrika si kichaka cha kuficha fedha zilizotokana na rushwa au kufuga wala rushwa. Tunataka dunia nzima ifahamu kuwa, Afrika si salama kwa walarushwa na hilo lionekane kwa kupitia vitendo vyetu dhidi ya rushwa”.Rais Samia ameyasema hayo Julai 11, 2023 alipokuwa akihutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Barani Afrika yaliyoadhimishwa Jijini Arusha Julai 9 – 11, 2023.

Maadhimisho haya yalifanyika sambamba na miaka 20 ya utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa wa Mwaka 2023.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA TLS ARUSHA

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA TLS ARUSHA

EID AL – FITR

EID AL – FITR

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KIBITI – PWANI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MOMBA – SONGWE

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

158
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU