TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

Kesi namba CC.165/2023 imefunguliwa Juni 28, 2023 katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kivukoni iliyopo Kinondoni.

Mshitakiwa ni Bi Devota Devid Mkwawa– Mfanyabiashara mkazi wa Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Ameshitakiwa kwa makosa ya kughushi na kuwasilisha nyaraka za kughushi kinyume na vifungu vya 333, 335(a)&(d), 337 na 342 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu Sura ya 16 Rejeo la 2019.

Amesomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kivukoni iliyopo Kinondoni Mhe. Kaluyenda.

Kesi imeahirishwa hadi Julai 12, 2023 itakapokuja kwa ajili ya kusikilizwa hoja za awali(PH).

Mshtakiwa atakuwa nje baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFUNGUA JENGO LA OFISI YA TAKUKURU MKOA

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFUNGUA JENGO LA OFISI YA TAKUKURU MKOA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KALIUA MKOA WA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KALIUA MKOA WA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

994
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU