TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA SIKONGE

Juni 28, 2023 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh. Mwambeleko, Hakimu wa Wilaya ya Muleba imeamriwa kesi * ya RUSHWA No. 2/2023.

Kesi hii ni ya Jamhuri dhidi ya Mashaka Magesa Ngereja ambaye alishitakiwa kwa kosa la kupokea HONGO Tsh 250,000 kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 Mapitio ya 2022 kwa lengo la kuuza sehemu ya eneo la Kijiji cha Kahangaza ndani ya kitongoji cha Kanyamlima Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.

Upande wa Jamhuri (TAKUKURU ) uliwakilishwa na Wakili Kelvin Murusuri

Baada ya Mahakama kusikiliza ushahidi wa pande zote, iliridhika kutendwa kwa kosa hilo na kumtia hatia mshtakiwa.

Mahakama imemhukumu mshtakiwa kulipa faini ya shs 500,000/= (Laki Tano) au kwenda jela miaka mitatu.

Aidha,Mahakama imemwamuru mshtakiwa kurejesha fedha zote sh. 250,000/- alizochukua kama HONGO na Ardhi iliyouzwa irejeshwe katika Serikali ya Kijiji na kwamba mauziano yaliyofanyika ni Batili.

Mshtakiwa ameenda jela.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

UZINDUZI WA MWONGOZO WA KUFUNDISHA SKAUTI

UZINDUZI WA MWONGOZO WA KUFUNDISHA SKAUTI

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA BUKOBA MKOANI KAGERA.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

4572
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU