TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

Juni 08, 2023 imefunguliwa kesi ya Jinai namba CC. 69/2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Mlele, mbele ya Mh. Bilal.

Kesi hiyo ni Jamhuri dhidi ya AMOS GEORGE MAHANGA (Mwenyekiti wa Kijiji )- Kijiji cha Uwanja wa Ndege, katika H/W ya Mlele, Mkoani Katavi.

Hati ya Mashtaka imesomwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Kelvin Mwaja, kwamba siku ya tarehe 09.01.2023 aliomba kiasi cha Shilingi 300,000/= kutoka kwa Marry Msagati ili amsaidie kurejesha mali zake kutoka kwa Hussein Mapula na Tarehe 10.01.2023 alipokea kiasi cha Shilingi 210,000/= kutoka kwa Marry Msagati ili amsaidie kurejesha mali zake kutoka kwa Hussein Mapula.

Mshtakiwa amejihusisha na vitendo vya Rushwa kinyume na k/f cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 marejeo ya Mwaka 2022.

Mshtakiwa amekana makosa yake na yupo nje kwa dhamana.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

UZINDUZI WA JENGO LA TAKUKURU LIWALE

UZINDUZI WA JENGO LA TAKUKURU LIWALE

USHIRIKIANO KIMATAIFA

USHIRIKIANO KIMATAIFA

TUME YA HAKI JINAI, YAFIKA WILAYANI ARUMERU

TUME YA HAKI JINAI, YAFIKA WILAYANI ARUMERU

ZIARA YA UTAMBULISHO

ZIARA YA UTAMBULISHO

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

546
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU