TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA BUKOBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE


Leo tarehe 15/06/2023 katika Mahakama ya Mkoa – Bukoba, mbele ya Mhe. Massesa– Hakimu Mfawidhi Mkoa, imeamuliwa kesi ya Jinai Na. 6/2022 Jamhuri dhidi ya Mickdad Abdurashid Juma, ambaye alishtakiwa kwa makosa ya kutoa taarifa za uongo chini ya kifungu cha 29 (3) cha Sheria ya Vizazi na Vifo sura ya 108, mapitio ya 2022, ambapo mshtakiwa alidaiwa kutoa taarifa za uongo ili kupata cheti cha kuzaliwa katika mazingira ya rushwa.

Baada ya ushahidi kutolewa katika shauri hilo, Mahakama iliridhika na kumtia Hatiani mshtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo.

Mahama imemhukumu mshtakiwa kulipa faini ya shilingi za Kitanzania Laki tatu (300,000) au kwenda jela kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Shauri hilo liliendeshwa na Mawakili wa Serikali (TAKUKURU) Bw. Kelvin Murusuri akisaidiwa na Daud Jacob.
TAKUKURU Bukoba , Juni 15, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TABORA, OKT – DES 2023

KUTOKA MAHAKAMANI MBEYA

SABASABA

SABASABA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA TAKUKURU TANGA

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA TAKUKURU TANGA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1538
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU