TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MOMBA – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MWANGA – KILIMANJARO

Mahakama ya Wilaya ya Momba Mkoani Songwe, mnamo Juni 6, 2023 katika Kesi ya Uhujumu Uchumi Na. 02/2023, mbele ya Hakimu Mkazi Mh. Lyon, Mshtakiwa amekiri makosa yake na mahakama imemtia hatiani.

Mshtakiwa huyo ni Bw. Ernest Mwambozi (Mwalimu Mkuu S/M Kamsamba) aliyeshitakiwa kwa kosa la Matumizi mabaya ya mamlaka kinyume na k/f cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 marejeo ya mwaka 2022.

Shtaka lingine ni kuisababishia hasara Serikali kinyume na Aya ya 10 (1) ya jedwali la kwanza na k/f 57(1) na 60 (2) ya Sheria ya Uhujumu Uchumi Sura ya 200 marejeo ya 2022.

Baada ya Mahakama kuzingatia hoja za mshtakiwa za kuomba asipewe adhabu kali, Mahakama imeamuru Mshtakiwa kutumikia adhabu ya kifungo cha nje cha mwaka mmoja.

Adhabu hiyo inaenda sambamba na kutakiwa kurejesha kwa mwajiri wake (H/W Momba), kiasi alichoiba sh. 1,080,000/= ambazo Mshtakiwa ameshazirejesha.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

Mkutano

Mkutano

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA MKOANI KAGERA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MLELE MKOANI KATAVI.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1434
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU