TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA SONGWE (MKWAJUNI) MKOA WA SONGWE

Juni 01, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO. 04/2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Songwe, mbele ya Mh. Lugome.

Kesi hiyo ni Jamhuri dhidi ya Lington Mbuzi, Mkusanya Mapato katika H/W ya Songwe, Mkoani Songwe.

Hati ya Mashtaka imesomwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Conrad Kabutta kwamba kati ya tarehe 06.05.2017 na 10.10.2019, Mshtakiwa akiwa na nia ovu alitumia madaraka yake vibaya kwa kushindwa kupeleka fedha kwa Mhasibu wa H/W ya Songwe au kuweka kwenye akaunti ya H/W ya Songwe kiasi cha shilingi 13,913,488/= kinyume na Memoranda namba 37(2) na 50(5) ya Memoranda ya Fedha ya Serikali ya Mtaa ya mwaka 2009 kwa ajili ya kujipatia maslahi binafsi.

Pia mshtakiwa anakabiliwa na tuhuma nyingine ya Ufujaji na Ubadhirifu kinyume na kifungu cha 28(1) cha Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa sura ya 329 marejeo ya mwaka 2019, ambapo mshtakiwa anadaiwa kati ya tarehe 06 Mei, 2017 na 10, Oktoba 2019 Lington Mbuzi akiwa Mkusanya mapato katika H/W ya Songwe Mkoani songwe alifanya ubadhirifu wa kiasi cha shilingi 13,913,488/= mali ya Halmashauri ya Wilaya ya Songwe zilizofika kwenye himaya yake akiwa mtumishi wa umma.

Mshtakiwa amekana makosa yake na amepewa dhamana baada ya kukidhi masharti yote ya dhamana.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA ILALA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KARIBU MBEYA

KARIBU MBEYA

KUTOKA MAHAKAMANI ARUSHA

KUTOKA MAHAKAMANI MBEYA

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332