TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.


Leo Mei 31, 2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Muleba mbele ya Mh. Daniel Nyamkerya, Hakimu Mfawidhi Wilaya imeamriwa kesi Corruption No. 1/2022 Jamhuri dhidi Kelvin Rweyemamu Prosper – Mtendaji ambaye alishtakiwa kwa makosa ya kuomba na kupokea hongo toka kwa baadhi ya wanufaika wa fidia katika mradi wa bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga, lengo ikiwa ni kuwaandikia barua za utambulisho kwa ajili ya fidia kinyume na kifungu cha 15 (1) (a) na (2) cha sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa sura ya 239 marejeo ya 2022.

Mahakama imemtia hatiani mshtakiwa na kumhukumu kutotenda kosa lolote la jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja.TAKUKURU Muleba, Mei 31, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MBULU – MANYARA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

WAWILI WAHUKUMIWA KWA KUTOA RUSHWA LAKI NANE KWA ASKARI POLISI

WAWILI WAHUKUMIWA KWA KUTOA RUSHWA LAKI NANE KWA ASKARI POLISI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

860
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU