TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

Mnamo tarehe 30.05.2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Momba mbele ya Hakimu Mkazi wa Wilaya Mh. Claud Masenjelwa, imeamuliwa kesi No. 03/2023 Jamhuri dhidi ya Emma Katabika – Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Katenjile na Mashaka Mwilenga – Fundi Ujenzi.

Kesi hii ilihusu kosa la matumizi mabaya ya nyaraka kwa ajili ya kumdanganya mwajiri kifungu cha 22 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 Marejeo ya Mwaka 2022.

Mahakama imewatia hatiani Washtakiwa baada ya kukiri kosa na kuwaamuru kulipa faini ya sh. 800,000/= kwa wote wawili au kwenda jela miaka 4 kila mmoja na kutakiwa kurejesha fedha kwa mwajiri ambaye ni Halmashauri ya Mji Tunduma kiasi cha shs. 500,000/=.

Washtakiwa wamelipa faini na kurejesha fedha.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA – KAGERA .

KIKAO KAZI

KIKAO KAZI

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

WAZIRI SIMBACHAWENE AFUNGUA MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI NA KUSISITIZA UADILIFU

WAZIRI SIMBACHAWENE AFUNGUA MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI NA KUSISITIZA UADILIFU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1550
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU