TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

Mei 29, 2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Jamhuri imeshinda Mashauri mawili yaliyokuwa yakiendeshwa katika Mahakama hiyo.

  1. Ecc no 2/2022 Leonence Manyila Doto Mtendaji Kata ya Lugubu na wenzake wawili, walishtakiwa kwa kosa la kughushi muhtasari na kuhamisha fedha kiasi cha sh. 7,600,000 kutoka kwenye akaunti ya Kata na kuingiza kwenye akaunti ya fundi badala ya kulipa sh. 600,000.

Washtakiwa wawili waliachiwa huru na Leonence Manyila Ditto amehukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya shs 1,400,000.

Hadi tunatoka Mahakamani Mshtakiwa alikuwa hajalipa faini.

  1. CC No. 3/2022 Andrew Peter Rutabaisha Afisa Elimu na Assistant Returning Officer, Kata ya Mbutu – alifanya udanganyifu kwa kuandaa nyaraka yenye maelezo ya uongo kuonesha kuwa ametumia Sh. 800,000/- kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya kupigia kura na Sh. 200,000 kwa ajili ya kukodi viti, meza na vipaza sauti kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015.

Mshtakiwa amehukumiwa kwenda jela mwaka moja au kulipa faini ya sh. 500,000 lakini hadi tunatoka Mahakamani mshtakiwa alikuwa hajalipa faini.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

BINTI WA MIAKA 13 AKABIDHI TAKUKURU KITABU ALICHOANDIKA

BINTI WA MIAKA 13 AKABIDHI TAKUKURU KITABU ALICHOANDIKA

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MAKETE MKOANI NJOMBE .

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

710
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU