TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

TAKUKURU NA DCEA WASAINI MoU YA KUSHIRIKIANA KATIKA KAZI

TAKUKURU NA DCEA WASAINI MoU YA KUSHIRIKIANA KATIKA KAZI

Mei 26, 2023, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna wa Polisi Salum Rashid Hamduni na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) nchini Bw. Aretas James Lyimo, wamesaini Mkataba wa Makubaliano ya kikazi (Memorandum of Understanding – MoU) baina ya Taasisi hizi, yenye madhumuni ya kuongeza wigo na nguvu ya kukabiliana na tatizo la biashara na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na tatizo la rushwa nchini.

Akizungumza na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kusaini MoU hiyo, Mkurugenzi Mkuu amesema, Rushwa ni kati ya vichocheo vya biashara na matumizi ya dawa za kulevya duniani na pia biashara ya dawa za kulevya ni kati ya vichocheo vya vitendo vya rushwa ambapo wafanyabiashara au watumiaji wa dawa za kulevya hutumia rushwa kuwanyamazisha watendaji wasiokuwa waadilifu wa mamlaka za usimamizi wa sheria ili wasichukuliwe hatua za kisheria.

Pamoja na mambo mengine, Mkataba huu uliosainiwa TAKUKURU Makao Makuu Dodoma na kushuhudiwa na Viongozi wa taasisi zote mbili, umetaja maeneo yafuatayo ya ushirkiano: –

  • Kutoa mafunzo kwa watumishi wa DCEA na TAKUKURU;
  • Kubadilishana taarifa muhimu zitakazowezesha kukabili biashara ya dawa kulevya, matumizi ya dawa za kulevya, na vitendo vya rushwa katika jamii;
  • Kushirikiana kutoa elimu kwa umma kwa kutumia njia na majukwaa mbalimbali zikiwamo klabu za wapinga rushwa shuleni na vyuoni
  • Kuhamasisha wanafunzi, vijana na jamii kwa ujumla kutoshiriki vitendo vya rushwa na biashara na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na kuchukua hatua kukabili makosa haya;
ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA IGUNGA- TABORA.

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU

SITA WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA – DODOMA

WATATU WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

5677
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU