TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

Leo Tarehe 25/05/2023 katika Mahakama ya Wilaya Liwale mkoani Lindi, amesomewa mashitaka katika Kesi ya Rushwa Na. 01/2023 mshtakiwa SELEMANI FADHILI KHALFANI, Mtendaji wa Kijiji
cha Kimambi, Kata ya Kimambi Wilayani Liwale.

Mshitakiwa anashtakiwa kwa kosa la Kupokea Hongo Kinyume na kifungu cha 15 (1) (b) na 2 vya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Cap 329 R.E 2022).

Hongo hiyo ilikua ya jumla ya shs. 2,000,000/= kutoka kwa JOHN CHAMBI KASEKELE ambaye ni mkulima, kama ushawishi ili maombi yake ya ardhi ekari 400 kwa ajili ya kilimo yaweze kujadiliwa katika Kikao cha Serikali ya Kijiji cha Kimambi.

Mshtakiwa yuko nje kwa dhamana baada ya kukidhi vigezo na Shauri limepangwa kuja kwa kutajwa tarehe 06/06/2023 .

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

ZUIENI VITENDO VYA RUSHWA KWA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI-MAGU MWANZA

ZUIENI VITENDO VYA RUSHWA KWA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI-MAGU MWANZA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KITETO – MANYARA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KITETO – MANYARA

DG PCCB

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU CP. SALUM RASHID HAMDUNI

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

4461
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU