TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Uncategorized

KUTOKA MAHAKAMANI WILAYA YA MOMBA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI WILAYA YA MOMBA SONGWE

Mei 22, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO. 04/2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Momba kwa Mhe. Lyon Jamhuri dhidi ya Bw. Kibwana Said Kibwana, Afisa Maendeleo ya jamii katika Kata ya Myunga, Halmashauri ya Wilaya ya Momba, mkoani Songwe.

Mshtakiwa amesomewa Hati ya Mashtaka na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Simona Mapunda, kwamba kati ya tarehe 04.05.2015 na 26.06.2020, Mshtakiwa akiwa na nia ovu alitumia madaraka yake vibaya kwa kushindwa kupeleka fedha kwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi au kuweka kwenye akaunti ya halmashauri ya wilaya ya Momba kiasi cha shilingi 30,428,100/= ndani ya muda uliotakiwa kinyume na memoranda namba 37(2) na 50(5) ya Fedha ya Serikali ya Mtaa ya Mwaka 2009 kwa ajili ya kujipatia manufaa binafsi.

Mshtakiwa amekana makosa yake na alishindwa kukidhi vigezo vya dhamana na hivyo kupelekwa rumande.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU YACHAMBUA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

TAKUKURU, ZAECA na TSA WASAINI MoU YA USHIRIKIANO KIKAZI

TAKUKURU, ZAECA na TSA WASAINI MoU YA USHIRIKIANO KIKAZI

UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU KITAIFA – DODOMA

UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU KITAIFA – DODOMA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

324
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU