TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

Mei 19, 2023 zimefunguliwa kesi 2 za Uhujumu Uchumi – namba ECO. 02/2023 na ECO. 03/2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Songwe mbele ya Mhe. Lugome.

Kesi hizo ni:-

  1. Jamhuri dhidi ya Bw. Jaston Winfred Mpigauzi, Mtendaji wa Kijiji na
  2. Jamhuri dhidi ya Bw. Christopher Mshogo ambaye ni Mtendaji wa Kijiji, wote wakiwa ni watumishi wa H/W Songwe iliyoko mkoani Songwe.

Washtakiwa wamesomewa Hati ya Mashtaka na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Simona Mapunda kwamba kati ya Mwaka 2017 na Mwaka 2023, washtakiwa wote wawili walitumia mamlaka yao vibaya kwa kushindwa kuweka fedha walizokusanya kama mapato na kuzifanyia ubadhirifu kinyume na kifungu cha 31 na 28 (1) cha PCCA sura ya 329.

Jaston Mpigauzi alizifanyia ubadhirifu sh.22,212,499/= alizokusanya kama mapato ya H/W Songwe na Christopher Mshogo alizifanyia ubadhirifu sh. 8,693,220.25/=, mali ya H/W Songwe.

Washtakiwa wamekana mashtaka yao na walipata dhamana baada ya kukidhi masharti ya dhamana

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

DPP ZANZIBAR AFANYA ZIARA TAKUKURU – KUJIFUNZA

DPP ZANZIBAR AFANYA ZIARA TAKUKURU – KUJIFUNZA

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

MWANASHERIA WA HALMASHAURI YA WILAYA MAKETE MBARONI KWA TUHUMA YA RUSHWA

MWENYEKITI AHUKUMIWA KIFUNGO KWA KUTUMIA MILIONI 60 ZA KIKUNDI – MULEBA KAGERA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

5594
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU