TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

Mei 17, 2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Hai, Jamhuri imeshinda shauri lililokuwa limefunguliwa kwenye mahakama hiyo mnano Mei 17, 2023.

Shauri hilo ni namba EC 21/2023 dhidi ya Mshtakiwa Bw. Lameck Simbo, ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Mungushi Wilaya ya Hai. Alishtakiwa kwa kutumia vibaya madaraka yake kwa kuvunja sheria na kujipatia fedha kiasi cha sh 300,000 ikiwa ni mapato ya kijiji kwa mauzo ya shamba kati ya Rafia Kimaro na Elifuraha Judica Kimaro.

Kosa la pili linahusu ubadhirifu wa fedha za kijiji kwa kujipatia manufaa kinyume na kifungu cha 28(1)cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11/2007.

Shauri hilo lilikuwa mbele ya Mh. Julieth Mahole na mshitakiwa amehukumiwa kifungo cha miaka 2 jela au kulipa faini.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI SAME KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMANI ROMBO KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KALIUA MKOA WA TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KALIUA MKOA WA TABORA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

4591
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU