TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MOMBA – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

Mei 17, 2023 imefunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba ECO. 03/2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Momba Mhe. Claudia Msenjelwa.

Kesi hii ni Jamhuri dhidi ya Bi. Emma Philemon Katabika, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Katenjele na Bw. Mashaka Tenson Mwilenga ambaye ni Fundi Ujenzi anayeishi Mpemba katika H/Mji wa Tunduma mkoani Songwe.

Washtakiwa wamesomewa Hati ya Mashtaka na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Simona Mapunda akisaidiana na Conrad Kabutta, kwamba kati ya tarehe 28.06.2021 na 29.06.2021 washtakiwa wakiwa na nia ovu ya kumdanganya Mwajiri, walitumia nyaraka zenye maelezo ya uongo wakitaka kuonesha kuwa Mashaka Mwilenga anastahili malipo ya sh 500,000/= kwa kazi ya ujenzi wa madarasa na ofisi ya Mwalimu Mkuu jambo ambalo kwa uelewa wao halikuwa kweli hivyo kwenda kinyume na kifungu cha 22 cha PCCA sura ya 329 marejeo ya 2022.

Washtakiwa wamekana mashtaka yao na walipata dhamana baada ya kukidhi masharti

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU MTWARA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 10

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VIONGOZI WA TAKUKURU

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VIONGOZI WA TAKUKURU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA MKOANI KAGERA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MLELE MKOANI KATAVI.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

5521
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU