TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LUSHOTO-TANGA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LUSHOTO-TANGA

Mei 11, 2023 limefunguliwa Shauri la Jinai Namba 103/2023, Jamhuri dhidi ya Imamu Semkiwa aliyekuwa Fundi Ujenzi Katika Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu – Shule ya Sekondari Shambalai, kwa tuhuma za kutenda kosa la Kughushi Nyaraka Kinyume na Vifungu ya 333, 335 (a), 335 (d) (i) na 337 vya Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16, Marejeo ya Mwaka 2022.

Mshitakiwa amefikishwa mahakamani hapo kufuatia vitendo vya kughushi kwa kusaini nyaraka za Zabuni zenye thamani sh. 6,000,000/- kwa majina ya watu wengine, kinyume na sheria, katika utekelezaji wa mradi wa Ujenzi wa Miundombinu Shule ya Sekondari Shambalai.

Mshitakiwa amekana mashtaka yanayomkabili na yupo nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Hakimu aliyesikiliza shauri hilo, Mh. Kavumo Masewa ameahirisha shauri hilo hadi Mei 30, 2023, ambapo mshtakiwa atasomewa hoja za awali.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

TAKUKURU KILIMANJARO WAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO YA SH. BILIONI 7.1

TAKUKURU KILIMANJARO WAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO YA SH. BILIONI 7.1

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’  NA ‘THE ROYAL TOUR’

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’ NA ‘THE ROYAL TOUR’

KUTOKA MAHAKAMANI HANDENI – TANGA

KUTOKA MAHAKAMANI HANDENI – TANGA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1388
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU