TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

Mha. Joseph Mwaiswelo Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma – TAKUKURU amezindua Filamu ya TANJEMA ambayo imelenga kuwajenga vijana hususan wanafunzi wa shule za msingi kuwa na Maadili, Wawajibikaji, Wazalendo na Wasioivumilia RUSHWA.

Filamu hiyo iliyozinduliwa Mei 15, 2023, imeandaliwa na vijana wanne wahitimu wa Programu ya Marekani inayojulikana kama ‘Mandela Washington Fellowship’.

Akizindua filamu hiyo, Mha. Mwaiswelo amewataka wanafunzi na walimu kuwajibika katika nafasi walizonazo kwa kuondokana na vitendo vya rushwa kwani hakuna mtu atakayeweza kuijenga Tanzania bali Watanzania wenyewe.

Wito huo umekuja wakati muafaka ambapo Serikali imejikita katika kuzuia vitendo vya Rushwa kabla havijatokea msisitizo ukiwa ni kuwaelimisha vijana tangu wakiwa shuleni.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA SIKONGE

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU.

WARSHA YA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA SADC

WARSHA YA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA SADC

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI TANGA.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

15
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU