TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI KISUTU DAR ES SALAAM

KUTOKA MAHAKAMANI HANDENI – TANGA

Mei 11, 2023 watuhumiwa 6 kati 9 wameshtakiwa kwa makosa ya kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kuongoza genge la uhalifu na utakatishaji fedha haramu.

Washtakiwa hawa wamefunguliwa mashtaka kupitia kesi Na 11/2023 mbele ya Mhe. Hakimu Urio wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Washtakiwa wamewekwa rumande katika gereza la Segerea kufuatia kuwako kwa makosa ambayo hayana dhamana.

Uchunguzi unaendelea kufanyika ikiwa ni pamoja na kuwatafuta watuhumiwa wengine 2 pamoja na mali zao.

Inadaiwa kuwa katika kipindi cha Sept 2022 washtakiwa kwa kutumia Kampuni ya Steca Export Co. Ltd, walifanya biashara ya kuuza Madini ya Copper yenye thamani ya sh. 1.6 Bilion kwa Kampuni ya Zhejiang Afol ya nchini China.

Kwamba washtakiwa walisafirisha chupa tupu za vinywaji (wine beverages bottled) badala ya Madini ya Copper, waliyomuuzia mlalamikaji kupitia Clearing Agent ya Mwikolo Logistic & Globvest Group Ltd.

Imethibitika kwamba chupa tupu zilisafirishwa kwa makontena 5 kwenda China kupitia wakala wa meli MAERSK.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU RUKWA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA

TAKUKURU RUKWA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA

JENGO LA TAKUKURU WILAYA YA KITETO LAZINDULIWA.

JENGO LA TAKUKURU WILAYA YA KITETO LAZINDULIWA.

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

DPME AHITIMISHA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UMMA KWA MAAFISA WA TAKUKURU

DPME AHITIMISHA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UMMA KWA MAAFISA WA TAKUKURU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

4680
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU