TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA CHUNYA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA CHUNYA

Mei 10, 2023 Mahakama ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, yamefunguliwa mashauri mawili ya Uhujumu Uchumi kama ifuatavyo÷

  1. ECO 5/2023 dhidi ya PASKALIA JANUARY MSAFIRI ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kijiji ambaye anashitakiwa kwa kosa la ubadhirifu wa fedha za makusanyo ya tozo ya faini kiasi cha shilingi 500,000/= alizokusanya kutoka kwa mfugaji aliyeingiza mifugo kinyume na utaratibu pasipo kuwasilisha kwenye Hazina ya Halmashauri (W)-Chunya.

Mshitakiwa huyo baada ya kisomewa shitaka amekana na amefanikiwa kupata dhamana.

Shauri litaendelea tarehe 18/05/2023 kwa kusoma maelezo ya awali au usikilizaji wa hoja za awali.

  1. ECO 6/2023 dhidi ya EUSEBIUS GEORGE MIHAYO ambaye ni Afisa Mtendaji Kata na anashitakiwa kwa makosa ya ubadhirifu na wizi kwa mtumishi wa umma.

Makosa haya aliyafanya mara baada ya kutowasilisha makusanyo ya ushuru wa mazao kiasi cha shilingi 5,269,875/= kwenye akaunti ya mapato ya Halmashauri (W) – Chunya.

Mshitakiwa amekiri kosa na mahakama imepanga shauri hili lije tarehe 12/05/2023 kwa ajili ya kutoa hukumu.

Mshitakiwa amewekwa mahabusu hadi tarehe hiyo.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

TAKUKURU NA PPRA ZASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KIKAZI

TAKUKURU NA PPRA ZASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KIKAZI

KIKAO KAZI CHA KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU

KIKAO KAZI CHA KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

4628
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU