TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

Mei 8, 2023, katikati Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe, limefunguliwa Shauri la Jinai Na. 16/2023 Jamhuri dhidi ya Bw. Jackson W. Mahali ambaye ni Mfanyabiashara.

Mshtakiwa anashtakiwa kwa makosa ya kughushi na kuwasilisha nyaraka za uongo TRA ili kuhamisha umiliki wa magari kwenda kwake.

Mshtakiwa amekana mashtaka yake yote na amepelekwa mahabusu baada ya kukosa dhamana.

Shauri limepangwa kuendelea kwa hatua ya kuanza kusikilizwa Maelezo ya Awali (Phg) tarehe 22/05/2023.

Mfanyabiashara huyo ni mkazi wa mjini Mbeya na alikuwa akiendesha biashara za ukopeshaji fedha pasipo kusajiliwa mjini Mbeya, kitendo ambacho ni kosa la Jinai lililomtia hatiani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mbeya mnamo Mwezi Disemba 2022.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

DODOMA  OKT – DES, 2022

DODOMA OKT – DES, 2022

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

Mkurugenzi Mkuu akivalishwa Scarf na Wanachama wa Scout Wilayani Kiteto.

Mkurugenzi Mkuu akivalishwa Scarf na Wanachama wa Scout Wilayani Kiteto.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1434
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU