TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

ARINEA

ARINEA

Rais wa sasa wa Mtandao wa Ufuatiliaji na Urejeshaji wa Mali – Afrika Mashariki (Asset Recovery Inter-Agency Network for Eastern Africa – ARINEA) Bi. Lilian William Kafiti, ameshiriki Mjadala kati ya Mtandao wa Ufuatiliaji na Urejeshaji wa Mali wa Mamlaka za Kupambana na Rushwa (Asset Recovery Inter Agency Networks – ARINs) na Kikosi Kazi cha Kupambana na Fedha Haramu, Ugaidi na Silaha za Maangamizi (Financial Action Task Force – FATF).
Mjadala huo ulifanyika Mei 5, 2023 wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Camdem Assets Inter – Agency Network – CARIN, uliofanyika Brussels, Belgium na ajenda iliyojadiliwa ilihusu namna ya kukuza ushirikiano kati ya FATF na ARINs.
CARIN ni Mtandao wa Ufuatiliaji na Urejeshaji Mali ukijumuisha nchi za Umoja wa Ulaya, Marekani na Jumuiya za Kimataifa, ambapo TAKUKURU ni waangalizi (Observer) wa mtandao huo kupitia ARIN-EA.

Akichangia katika mjadala huo, Bi. Lilian ambaye pia ni Afisa Uchunguzi na Mwanasheria kutoka Kurugenzi ya Huduma za Sheria TAKUKURU alisema pamoja na mambo mengine, wakati sasa umefika kwa FATF kuingiza mitandao hii kwenye Mpango Mkakati wa FATF ili kila nchi mwanachama iweze kupimwa ni kwa kiwango gani mitandao hii imetumika na kusaidia katika ufuatiliaji na urejeshaji mali kwa nchi husika. ARINEA ilianzishwa Mwaka 2013 katika Mkutano wa Mwaka wa Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Afrika Mashariki – Eastern Africa Association of Anti-Corruption Authorities EAAACA, lengo likiwa ni kutengeneza mtandao wa watalaam watakaowezesha urahisi wa urejeshwaji wa mali zilizotokana na njia ya uhalifu ikiwemo rushwa na kurejeshwa nchi husika. Bi.Lilian ni Rais wa ARINEA kwa kipindi cha Mwaka 2020 hadi 2024.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

JENGO LA TAKUKURU LIWALE LAZINDULIWA

JENGO LA TAKUKURU LIWALE LAZINDULIWA

PONGEZI TAKUKURU MKOA WA RUKWA

PONGEZI TAKUKURU MKOA WA RUKWA

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHIMIZA UADILIFU NA WELEDI KWA WATUMISHI WA TAKUKURU (M) SHINYANGA.

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHIMIZA UADILIFU NA WELEDI KWA WATUMISHI WA TAKUKURU (M) SHINYANGA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MOSHI, KILIMANJARO.

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI, TANGA.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1515
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU