TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA – KAGERA .

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

Mei 3, 2023, katika Mahakama ya Wilaya ya Ngara mkoani Kagera mbele ya Mhe. KAVALO, Shauri la Rushwa na Uhujumu Uchumi Namba 8/2022 limetolewa maamuzi kwa mshitakiwa Wisman Ngyanabo Geshaza kutiwa hatiani baada ya kusikiliza mashahidi watano na vielelezo vinne huku upande wa utetezi ukiwa na mashahidi wawili.

Shauri hilo liliendeshwa na waendesha mashtaka wa TAKUKURU Bw. Kelvin Murusuri (Wakili Kiongozi), akisaidiana na Bw. Leodger Siriwa(Wakili wa Jamhuri – Ngara).

Ilithibitika mahakamani kuwa mshitakiwa ambaye alikuwa ni Mkusanya Mapato, alifanya ubadhirifu wa fedha za Halmashauri ya Ngara kupitia POS No. 47 kiasi cha sh. 3,027,356 ambazo ilibainika zilikusanywa na yeye kama Mkusanya Mapato kwa POS hiyo tajwa na hivyo kushtakiwa kwa kosa la ubadhirifu kinyume na kifungu cha 28 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 Marekebisho ya Mwaka 2022.

Mhe. Hakimu KAVALO, amemhukumu mshitakiwa kulipa fine ya shilingi za kitanzania laki tano (sh. 500,000), au kutumikia jela kifungo cha miaka miwili. Pia aliamriwa arejeshe fedha zote alizofanyia ubadhirifu kiasi cha sh 3,027,356/- TAKUKURU Kagera, Mei 3, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KIKAO KAZI

KIKAO KAZI

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

299
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU