TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MKOA WA KAGERA .

KUTOKA MAHAKAMANI IGUNGA TABORA

Katika Mahakama ya Mkoa wa Kagera mnamo Aprili 25, 2023 imetolewa hukumu katika Shauri la Rushwa Na.02/2023 mbele ya Mhe. Yona.

Shauri hili liliendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Kelvin Murusuri

Shauri hilo lilikuwa dhidi ya Lilian Stanslaus Mwangwa – Afisa wa NIDA Kituo cha ILEMELA, aliyeshitakiwa kwa kupokea Hongo ya Shilingi za Kitanzania 51,000/- kutoka kwa Timothy Nakoko Gerorge, Raia wa Uganda kupitia M-pesa yake.

Alishtakiwa kwa kosa la kujihusisha na vitendo vya Rushwa chini ya kifungu cha 15 (1) (b) & (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa SURA ya 329 marekebisho ya Mwaka 2022.

Lengo lilikuwa ni kufanikisha kumpatia Bw. Timothy Nakoko George, Kitambulisho cha Taifa ilihali hastahili.

Aliposomewa Mashtaka yake Mshtakiwa alikiri Mashtaka hayo kwamba ni kweli alitenda kosa hilo huku akijua kabisa ni kinyume na sheria.

Baada ya kukiri Mshtakiwa alitiwa hatiani kwa kufanya kosa hilo na katika kuomba shufaaa aliomba kupewa adhabu ndogo (lenient) kwani ni mkosaji wa mara ya kwanza na ana mtoto mdogo anayenyonya, hivyo kumtegemea na hajaisumbua Mahakama.

Mwendesha Mashtaka Bw. Murusuri aliieleza Mahakama ni kwa namna gani vitendo hivi ni kero kwa jamii na hivyo kuiomba Mahakama kumpa adhabu Mshtakiwa kwa mujibu wa Sheria.

Mhe. Yona – Hakimu Mkazi Mkoa wa Kagera, alimtia hatiani Mshtakiwa chini ya kifungu cha 15 (1)(b) & (2) cha PCCA na kumpa adhabu ya kulipa fine ya shilingi za kitanzania laki tano (sh. 500,000)au kwenda jela miaka mitatu.

TAKUKURU KAGERA, Aprili 25, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

FILAMU YA MAADILI YAZINDULIWA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA RUNGWE

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

313
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU