TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA NEWALA – MTWARA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

Aprili 24, 2023 Mahakama ya Wilaya Newala mkoani Mtwara imemtia hatiani mtumishi wa Idara ya Afya Bw. DEODATUS DAUDI MWAMWALA aliyekuwa Tabibu wa Kinywa na Meno katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Newala.

Bw. Mwamwala amehukumiwa kifungo cha Mwaka Mmoja na Miezi Sita JELA Katika Shauri Na. 38/2022 lililokuwa likiendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU Bw. SAIDI NG’ANZO, chini ya Mheshimiwa Hakimu Mfawidhi Mwandamizi INNOCENT SOTTER.

Awali mshitakiwa aliomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa aliyekwenda hospitalini hapo kung’olewa jino, kitendo ambacho ni kosa chini ya kifungu cha 15(1)A cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa sura ya 329 marejeo ya 2022.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NGARA MKOANI KAGERA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MLELE MKOANI KATAVI.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI  – (AAACA) 2022.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI – (AAACA) 2022.

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KIBITI – PWANI

UKAGUZI WA MRADI WA JENGO LA TAKUKURU SIMIYU

UKAGUZI WA MRADI WA JENGO LA TAKUKURU SIMIYU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

144
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU