TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

Aprili 21, 2023, Mahakama ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, imemtia hatiani Mshtakiwa Bw. PONSIAN MUBAYOBA katika Shauri la Uhujumu Uchumi Na.02/2022, lililokuwa mbele ya Mhe. Daniel Nyamkerya na likiendeshwa na Mwendesha Mashtaka William Fussi.

Katika shauri hilo, mshtakiwa alikua anashtakiwa kwa makosa matatu, mawili yakiwa ya matumizi ya nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri k/f 22 PCCA na la mwisho ni Ubadhirifu wa kiasi cha sh. 1,000,000 k/f 28(1) cha PCCA.

Mshtakiwa alikiri mashtaka yote kwamba ni kweli alitenda makosa hayo huku akijua kabisa ni kinyume na sheria.

Baada ya kukiri mshtakiwa alitiwa hatiani kwa kufanya makosa hayo na katika kuomba shufaaa waliomba kupewa adhabu ndogo kwani ni wakosaji wa mara ya kwanza na ana familia inayomtegemea.

Upande wa mashtaka uliiomba mahakama kutoa adhabu kwa mujibu wa sheria.

Mhe. Hakimu Mkazi baada ya kuzingatia hoja za pande zote mbili alimpa adhabu ya fine ya shilingi za kitanzania laki tano (sh. 500,000) kwa kosa la kwanza la matumizi ya nyaraka au kifungo cha miaka 3.

Adhabu ya fine ya shilingi za kitanzania laki tano ( sh. 500,000) kwa kosa la pili la matumizi ya nyaraka au kifungo cha miaka 2.

Na fine ya sh. 400,000 kwa kosa la ubadhirifu wa sh. 1,000,000 au kifungo cha mwaka mmoja.

Aidha Mhe Hakimu alitoa amri ya kiasi sh. 1,000,000 kilichofanyiwa ubafhirifu kirudishwe katika mamlaka husika. TAKUKURU Muleba Aprili 21, 2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU YACHAMBUA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU CP. SALUM RASHID HAMDUNI MKOANI SIMIYU

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU CP. SALUM RASHID HAMDUNI MKOANI SIMIYU

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMANI – KITETO – MANYARA

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

KUMKABIDHI MLEZI, MWONGOZO WA KUFUNDISHA VIJANA WA SKAUTI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1324
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU