TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI ILALA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

Januari 19, 2023 imefunguliwa Kesi ya Jinai namba 136/2023 katika Mahakama ya Wilaya Ilala, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala Mhe. Suzanne Kihawa.

Washitakiwa ni Bw. Ramesh Naranbhai Patel, ambaye alikua Mkurugenzi na Mjumbe wa Bodi wa iliyokua Bank M na mshtakiwa wa pili ni Bw. Richard Mwera Nicholaus Matiku ambaye ni mjasiriamali.

Kesi hiyo inaendeshwa na Waendesha Mashtaka wa TAKUKURU, IMANI NITUME akisaidiwa na Mwanasheria VERONICA CHIMWANDA.

Washtakiwa walisomewa hati ya mashtaka ya kughushi saini katika nyaraka mbalimbali za Bank M ili waweze kujipatia mkopo wa shs. 920 millioni .

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati mshtakiwa wa kwanza alipokuwa Mjumbe wa Bodi ya Bank M.

Washtakiwa wamekana mashtaka na wametolewa nje kwa dhamana baada ya kukidhi masharti na vigezo vya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi May 18, 2023 kwa ajili ya kusoma hoja za awali.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MLELE – KATAVI

MAFUNZO YA MUSE

MAFUNZO YA MUSE

TAKUKURU MTWARA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 10

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

46
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU