TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

Kesi namba ECC 4/2023 imefunguliwa Aprili 19, 2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni iliyopo Kinondoni.

Mshitakiwa ni Bw. Shadrack Mayala– aliyekuwa Mwalimu Chuo cha Paradigms College of Health Sciences ltd

Ameshitakiwa kwa kosa la Rushwa ya Ngono kinyume na Kifungu cha 25 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa SURA ya 329, ikisomwa pamoja na Aya ya 21 ya Jedwali la kwanza na Kif cha 57(1) na 60(2) ya Sheria ya Uhujumu Uchumi Sura 200 rejeo ya 2002.

Amesomewa shtaka lake mbele ya Hakimu Mkazi Mahakama ya Kivukoni iliyopo Kinondoni Mhe. Mushi.

Kesi imeahirishwa hadi Mei 22, 2023 itakapokuja kwa ajili ya kusikilizwa hoja za awali(PH).

Mshtakiwa yupo nje baada ya kutimiza masharti ya dhamana .

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

WATUMISHI TFS HATIANI KWA HONGO, WALIPA FAINI

NUKUU

NUKUU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

PCCB Strategic Plan 2022/23-2025/26

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1464
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU