TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI MOSHI, KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMANI MOSHI, KILIMANJARO

Aprili 5, 2023, Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemtia hatiani aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa anakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi Na 2.2021 na kumpatia adhabu ya kutumikia kifungo cha nje kwa mwaka mmoja na kumlipa mlalamikaji Bw. Alex Elibariki Swai kiasi cha shs 5,000,000 .

Aidha hukumu hiyo imetolewa baada ya mshtakiwa kukiri makosa kufuatia ‘plea bargaining’ iliyofanyika baada ya mshtakiwa kuomba kufanya maridhiano ambayo yalipewa baraka na ofisi ya DPP .

Aidha kiasi cha sh mil 5 kilikubaliwa na mlalamikaji baada ya mshitakiwa kumuomba kwamba hana fedha kwa sasa ila anakubali alimtendea vibaya na kweli aliomba na kupokea fedha zake jumla ya sh. 50,000,000/= na kumuomba amsamehe.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMANI – KITETO – MANYARA

MAZUNGUMZO

MAZUNGUMZO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

5591
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU