TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI, TANGA.

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

Machi 31, 2023 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga, kwenye Shauri la Uhujumu Uchumi namba 09/2021 lililokuwa likiendeshwa na Mawakili wa Serikali Anitha Kuringe, Khadija Luwongo na Joseph Mulebya, mbele ya Mhe. Aloyce Masua, imetolewa hukumu na Jamhuri imepata ushindi ambapo Mshtakiwa Mohamed Ally Jaka
ametiwa hatiani kwa kosa la Ubadhilifu kinyume na kifungu cha 28 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa SURA ya 329 marejesho ya Mwaka 2022.

Awali Mshitakiwa alifikishwa Mahakamani hapo alishtakiwa kwa kufanya ubadhilifu kwa kutowasilisha fedha kiasi cha Sh.4,528,000/= ambazo ni Mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, alizokusanya kupitia Mfumo wa POS.

Mshtakiwa amehukumiwa kulipa faini ya Shilingi Milioni Mbili au kwenda Jela kutumikia kufungo Cha miaka 2.

Mshtakiwa pia ameamriwa kurejesha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mkinga, fedha alizofanya ubadhilifu ambayo ni Sh.4,528,000/=.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMANI SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA SONGWE (MKWAJUNI) MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA SONGWE

MKUTANO MKUU WA 13 WA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA JUMUIYA YA MADOLA – SEYCHELLES 2023

MKUTANO MKUU WA 13 WA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA JUMUIYA YA MADOLA – SEYCHELLES 2023

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1530
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU