TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Ilala imefanikiwa kufungua kesi moja kwenye Mahakama ya (W) Ilala Kesi Na. 96/2023.

Mshitakiwa: BAKARI HERIEL MCHOME Mtendaji wa Mtaa Pugu-Kinyamwezi.

Kosa ni kuomba hongo ya sh. 1,000,000/- na kupokea Tshs. 1,000,000/- kama kishawishi ili aweze kumpatia Mlalamikaji orodha ya watu waliovamia shamba lake kinyume na K/f cha 15(1)(a) na (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura 329 Rejeo la 2022.

Mshitakiwa amekosa dhamana kwasababu hakuwa na wadhamini.

Shauri hili limepangwa kwa usikilizwaji wa awali Tar. 6/4/2023

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU NA BRELA WAFUNGUA MLANGO WA MASHIRIKIANO

TAKUKURU NA BRELA WAFUNGUA MLANGO WA MASHIRIKIANO

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’  NA ‘THE ROYAL TOUR’

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’ NA ‘THE ROYAL TOUR’

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI  – (AAACA) 2022.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI – (AAACA) 2022.

TAKUKURU NA ZAECA WAKUTANA NA AUABC

TAKUKURU NA ZAECA WAKUTANA NA AUABC

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

81
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU