TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

KIKAO CHA USHIRIKIANO TAKUKURU NA TAHLISO

KIKAO CHA USHIRIKIANO TAKUKURU NA TAHLISO

Machi 24, 2023, Mhand. Joseph Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma TAKUKURU (aliyeketi kiti cha mbele), kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, amepokea ugeni wa Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi – Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), waliofika kwa lengo la kujifunza, kuimarisha mahusiano pamoja na ushirikiano.

Akizungumza na viongozi hao walioongozwa na Bw. Fred Romanus Sanga – Katibu Mkuu Mtendaji wa TAHLISO (Kulia kwa DCE), DCE amewapongeza TAHLISO kwa kuweka ajenda za Rushwa pamoja na Madawa ya Kulevya kama moja ya maeneo muhimu katika uendeshaji wa TAHLISO.   Pamoja na mazungumzo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma aliwasilisha mada iliyolenga kuwawezesha viongozi hao KUIFAHAMU TAKUKURU na pia kujadili MAENEO YA USHIRIKIANO KATI YA TAKUKURU NA TAHLISO.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

ZUIENI VITENDO VYA RUSHWA KWA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI-MAGU MWANZA

ZUIENI VITENDO VYA RUSHWA KWA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI-MAGU MWANZA

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU ZANZIBAR.

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU ZANZIBAR.

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1527
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU