TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

TAKUKURU NA ZAECA WAKUTANA NA AUABC

TAKUKURU NA ZAECA WAKUTANA NA AUABC

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP Salum Rashid Hamduni (wa kwanza kulia), na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar – ZAECA Bw. Ali Abdalla Ali (wa pili kulia), wamekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ushauri ya Umoja wa Afrika ya Kupinga Rushwa (African Union Advisory Board Against Corruption – AUABC) Bibi Charity H. Nchimunya (wa kwanza kushoto) – Makao Makuu ya AUABC mkoani Arusha. Mazungumzo hayo yalilenga kujadili namna ya kuandaa kwa pamoja, maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika yanayotarajiwa kufanyika Julai 11, 2023 ikiwa pia ni maadhimisho ya miaka 20 ya Mkataba wa Umoja wa Afrika wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Viongozi wengine waliojumuika katika mazungumzo hayo ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma TAKUKURU Mha. Joseph Mwaiswelo pamoja na Mkurugenzi wa Uchunguzi ZAECA Bw. Nassir Ally. TAKUKURU, ARUSHA Machi 13, 2023.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

TAKUKURU YACHAMBUA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

KIKAO CHA USHIRIKIANO

KIKAO CHA USHIRIKIANO

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2385
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU