TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

 Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye, anamwakilisha Mkurugenzi Mkuu katika mkutano tajwa unaofanyika Bamako
nchini Mali. Mkutano huu unajumuisha viongozi wa juu wa Mamlaka za Kupambana na Rushwa kutoka takriban nchi 20 Barani Afrika pamoja na
wataalam mbalimbali wa Umoja wa Mataifa, ukiwa na lengo la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo katika mapambano dhidi ya Rushwa. Katika
picha (katikati) ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye akiongoza kikao kazi kilichojadili kuhusu ‘ Specific
Investigations on Corruption: What methodology to Adopt’. Kikao hiki kilichofanyika Februari 21, 2022 ni miongoni mwa vikao vidogo
vilivyoandaliwa kufanyika katika mkutano huo.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU YACHAMBUA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’  NA ‘THE ROYAL TOUR’

WANANCHI MKOA WA MARA WAPATA ELIMU YA RUSHWA NA KUFURAHISHWA NA FILAMU ZA ‘BAHASHA’ NA ‘THE ROYAL TOUR’

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

Mkutano

Mkutano

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2481
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU