TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

TAKUKURU YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA

TAKUKURU YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara Tanzania (Tanzania National Board of Commerce- TNBC) Dkt. Godwill G. Wanga – Januari 25, 2023. Mazungumzo hayo yalilenga kujadili namna ya kuzuia vitendo vya rushwa ili visiathiri mazingira ya biashara na uchumi hapa nchini. Vilevile, viongozi hao wamejadili namna ya kuwajengea uwezo Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini ili kutojihusisha na vitendo vya rushwa. Katika hatua nyingine, Wakuu hao wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa TNBC kwa jitihada mahsusi anazozifanya katika kuzuia RUSHWA nchini.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

AAACA AGM 2022 BUJUMBURA

AAACA AGM 2022 BUJUMBURA

DODOMA  OKT – DES, 2022

DODOMA OKT – DES, 2022

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA TAKUKURU TANGA

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA TAKUKURU TANGA

MAANDALIZI YA NACSAP IV

MAANDALIZI YA NACSAP IV

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2324
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU