TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma limefunguliwa Shauri la Uhujumu Uchumi namba 1/2023 mbele ya Mheshimiwa Janeth Musaroche.

Jumla ya washtakiwa 6 kati ya 7 walikuwepo ambao ni:
John Bahemu- Mkurugenzi Mtendaji wa M/S Jorogi Contractors Co. LTD; na wafuatao ambao walikuwa ni wajumbe wa Timu ya Tathmini ya Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwenye zabuni ya matengenezo ya miundombinu ya maji Kijiji cha Manzase-Chamwino:

  1. Heri Mwafute,
  2. George Mwakamele,
  3. Selemani Msafiri,
  4. Shaban Mpwepwe na 6. Noeli Lukuwi.
    Mshtakiwa Grace Mukulusi ambaye alikuwa Mhandisi wa Maji wa H/W Chamwino alisomewa mashtaka bila kuwepo mahakamani.

Wamesomewa na kukana jumla ya mashtaka kumi, yakiwemo matumizi mabaya ya mamlaka, kujipatia manufaa na matumizi ya nyaraka kumdanganya mwajiri kinyume na PCCA; kutoa taarifa za uongo kinyume na Penal Code; na kusababisha hasara ya shilingi 264,576,174/= kinyume na EOCCA.

Wote wako nje kwa dhamana.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

USHIRIKIANO NA WADAU

USHIRIKIANO NA WADAU

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA USALAMA MKOA WA TABORA.

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA USALAMA MKOA WA TABORA.

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2474
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU